Jumapili, 25 Februari 2018

CHOZI

HAKUNA MTU AMBAYE HAJAWAHI KUTOA CHOZI HAKUNA. WOTE TUME TOA CHOZI. CHOZI NI HATUA YA KUPATA FURAHA.
Umwombe mungu atafanya kitu kipya kwako. Usiogope magumu wala hayaleti kifo japo taabu zinatesa sana vumilia. Mvumilivu hulambivu. 
Fahamu kuwa; 1,ulipo zaliwa Ulitoa (chozi) 

                            2, Katika kuishi utatoa ( chozi)

                             3, ukifa hakuna chozi kwako je? Unajua sababu?.........)


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni