Alhamisi, 1 Februari 2018

HATUA 3 ZA UVIVU AU CHANZO CHAUVIVU.

(1) CHANZO CHAUVIVU (mawazo mabaya)(thinking negative)
                       Mawazo mabaya ni sumu, husababisha ushindwe
                       Kufanya jambo.  MFANO; ukiambiwa (1)tembea kilomita mbili 2. utasema  Mbalisana, (2)pika chakula naogopa kupika nitaunguza 3,Fanya biashara, je?nikipata hasara. 4, fuga  kuku.sasa kideli kitanisumbua. Mwisho wasiku una pondekamoyo wakufanya kazi.  NJIA BORA WAZA MAZURI(THINk POSITIVELY) 

(2) BAADA YA UVIVU ( Kulalamika au kulaumu) utasikia,wewe mchoyo, sina pesa nikopeshe, wameninyima mirathi, serikali imebana, Ndugu wamenitenga,nk  UNAJUA SABABU  nimatokeo ya  mawazo mabaya == huleta lawama == mwisho umasikini.

(3) MWISHO WA UVIVU ( umasikini ) yaani hujatimiza malengo ya kimafanikioNakushindwa yote.

Kanuni.

MAWAZO MABAYA + KULAUMU+ UVIVU

        JIBU LAKE.  (UMASIKINI)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni