NAKUTAKA
UTAKAVYO
WEWE
.
Fata njia hizi. 6 ukifuata uta weza.
1,JIPEMOYO.
Kujipa moyo nihatua kubwa sana kwako, itakufanya ujiamini sana. Maana moyo inakufanya usikate Tamaa kimaisha. Usiogope kabisa. Mfano: mbwa ana bweka ili akukatishe moyo wako ndipo ana kushambulia.ukijipa moyo HAKUNG'ATI sababu kuu USHINDI ilianza kwako mwenyewe. Kwa kujipa moyo. Ndivyo hata yalivyokuwa mafanikio yetu. (JIPE MOYO UTAFANIKIWA)
2,BIDII SANA.
Bila ya kujituma haufanikiwi kabisa. mfano: kulima, watu wanalima masaa 10 ndipo siku imeisha ya kazi. Sasa Wewe unalima masaa 4 kweli utafanikiwa sahau kabisa kufanikiwa.tujitume sana bila ya kujali umechoka kiasi gani. BIDII Utakuwanayo kama UMEJIPA MOYO NDIPO Bidii ita fanyika.
3,UWE NA MTAZAMO MKUBWA WA KIFIKRA.
mtazamo uta ongoza utakacho wewe. Utafanya mazuri sababu mtazamo ulio kuwa nao. una pangajambo,kufikiri mafanikio, utajiambia kuwa unataka kuwa (MTU WAAINA FULANI.)
4, FANYA JAMBO KAMA UNAFANIKIWA LEO.
Hii ina hamasisha ufanisi wako. Mfano; vijana
baadhi
wakitaka
mwenza
wake huwaza akubali
Leo
.
Sasa
hata
jambo
la
mafanikio
linatakiwa
uwaze
kutimiza
Leo
nasio
KESHO
.
5,
PINGA
MANENO
MABAYA
UAMBIWAYO
maneno
mabaya
sio
mazuri
kuya
fikiri
yana
haribu
jambo
ulilokuwa
nalo
.
Maneno
yanatoka
sehemu
mbalimbali
.
Epuka
Marafiki
,
Ndugu
,
vikundi
viovu
, hata wazazi baadhi wanachangia maneno ambayo huchangia kudumaa kimaendeleo, UFAFANUZI
MZAZI
.
mzazi
aliyefanikiwa hutoa maneno mazuri ili nawe ufanikiwe Tofauti mzazi ambaye hajafanikiwa hutoa maneno ya kushindwa. Kazi
ni kwako uta msikiliza nani?( aliye fanikiwa analo jambo la kukufundisha.
6, FURAHIA CHANGAMOTO
ULIYO
PITIA
Maana
nikipimo
cha
utambuzi
kuwa
wewe
ninani? Ukitaka kubadili
maisha
changamoto ina kufuata, HAKUNA MTU AMBAYE HAJAPITIA changamoto
ukionachangamoto
basi MAFANIKIO ya
nafuata
.
mfano
:
ukizaliwa
lazima ulie, katika maisha ya kuishi utalia, sasa
je
?
Ukifa
utaliatena au furaha kwako machozi kwa wengine.
Asante
sana
kwa
kujifunza
.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni